John Paul II Kahama Secondary School

Hard Working and Intelligence
O-Level NECTA
Click the Year to view Results :
  • 2024
  • 2023
  • 2022
  • 2021
  • 2020
National Position
Regional Position
School Info

JOHN PAUL II KAHAMA SEKONDARI: Ni shule kongwe (1984 – 2023) na ina miundombinu yote. Inapokea wanafunzi jinsia zote kuanzia Kidato cha 1 mpaka cha 6. Inatoa elimu fungamano kwa kuzingatia mahitaji ya kitaaluma, kiroho na kimwili. Ina mabweni kwa ajili ya watoto wa kike na wa kiume. wanafunzi wa kutwa pia wanapokelewa. Shule iko Mtaa wa Mission – Mbulu, wilaya ya Kahama, mkoa wa Shinyanga, umbali wa kilomita 5 tu kutoka katikati ya mji.

Ads