
Bible Knowledge
Book Keeping
Computer Study
English Literature
Civics
Geography
Basic Mathematics
Biology
Chemistry
Commerce
English Language
History
Kiswahili
Physics
Shule iko katika mazingira bora ya kujifunza mbali na vurugu za mji lakini ikiwa imeunganishwa vema kwa huduma zote muhimu za jamii. Masomo yanayofundishwa ni BIBLE, PHYSICS, BIOLOGY, MATHEMATICS, GEOGRAPHY, ENGLISH, ENGLISH LITERATURE, KISWAHILI, CHEMISTRY, HISTORY, BOOK-KEEPING, COMMERCE na COMPYUTA. Wastani wa ufaulu kwa mwaka ni kuanzia 50% na kuendelea juu. Hakuna upungufu wa walimu, madarasa na maabara.