Barbro Johansson Secondary School

Give the girls lights
FORM ONE - ADMISSION DETAILS
Application Deadline
01-October-2026
Interview Date
02-October-2026
Interview Time
8:00 AM
Interview Location
Shuleni
Application Fees (Non-refundable) : Tshs. 25,000 /=
NOTE
Masomo ya mtihani ni Hisabati na Maarifa na itakuwa katika lugha mbili, yaani kiswahili kwa wanafunzi wanaotoka shule za msingi zinazo tumia kiswahili kama lugha ya kufundishia . Kiingereza kwa wanafunzi wanaotoka shule za msingi zinazotumia kiingereza kama lugha ya kufundishia.
Wanafunzi wote wavae sare za shule zao za awali siku wanayokuja kufanya mtihani Barbro Johansson, vinginevyo hawataruhusiwa kwenye chumba cha mtihani. Pia waje na chakula au pesa kidogo za kununua vinywaji na vitafunwa, shule haitatoa chakula kwa watahiniwa.
Shule haipokei wanafunzi ambao hawajamaliza elimu ya msingi kwa mujibu wa mtaala. kwa maelezo zaidi wasiliana nasi 0757 063 349
Programu ya Pre-Form One itaanza tarehe 03 Ocktoba 2026 hadi tarehe 4 Disemba 2026. Mwishoni mwa programu wanafunzi wote wa Pre- Form one watapewa mtihani wa yale waliyojifunza na wale watakaofanya vizuri moja kwa moja watapewa nafasi ya kujiunga na Shule ya Barbro Johansson. Ada ya mpango wa Pre - Form One kwa kipindi chote ni shilingi 470,000/= tu.
FORM FIVE - ADMISSION DETAILS
Application Deadline
04-June-2026
Interview Date
05-June-2026
Interview Time
8:00 AM - 2:00 PM
Interview Location
Shuleni Barbro Johansson
Application Fees (Non-refundable) : Tshs. 20,000 /=
NOTE
Hakikisha unaambatanisha matokeo yako ya kidato cha nne na cheti cha kuzaliwa viwe katika mfumo wa pdf. Pia Ambatanisha picha ya mwanafunzi anayeomba kujiunga na shule
Program ya Pre - Form Five itaanza tarehe 08 April 2026 hadi tarehe 05 Juni 2026. Ada ya mpango wa Pre - Form Five kwa kipindi chote ni shilingi 550,000/= tu.
Majina ya wanafunzi watakaochaguliwa kujiunga na kidato cha tano katika shule ya Barbro Johansson mwaka 2026 yatatangazwa kila ijumaa baada ya matokeo ya NECTA kidato cha nne. Wanafunzi watakaochaguliwa watalazimika kuthibitisha kujiunga na shule ili wawekewe nafasi zao.
Hakikisha una ufaulu wa alama C na zaidi katika kila somo la tahsusi unayoomba EGM, HKL, HGK, HGL, HGE, PCM, PCB, CBG, PMC & ECA . Kwa maelezo zaidi tupigie 0757 063 349
Ads