Barbro Johansson Secondary School

Give the girls lights
APPLICATION FORM TO JOIN FORM ONE
STEPS
1
Fill Student's Particulars
2
Pay Application Fee by Tigo Pesa Only
STEP - ONE
SEHEMU A : TAARIFA YA MWANAFUNZI
  A 1  
Je anao wazazi wote wawili?
Ambatanisha picha Passport-Size, iwe katika ( jpg, jpeg au png )
  A 2  :  Afya  
Ana kilema chochote kinachohitaji uangalizi maalumu?
Kama ndio ni kipi
Je anakilema chochote kingine, kama ndio eleza ni kipi
Je ana ugonjwa mwingine wowote wa muda mrefu unaomsumbua ambao unahitaji uangalizi maalum?
Kama ndiyo eleza ni tatizo lipi
  A 3 : Wasifu wa Mzazi/Mlezi  
( Aandikwe anayemtegemea katika mahitaji yake )
Uhusiano wake na mwanafunzi (baba, mama, mjomba, n.k)
  A 4  
Uthibitisho wa kumaliza shule ya msingi (Tafadhali ambatanisha ripoti ya mwisho ya maendeleo ya mwanafunzi au cheti cha kumaliza elimu ya msingi)
  A 5:  
Programu ya Pre-Form One itaanza tarehe 03 Oktoba hadi tarehe 4 Disemba 2026. Mwishoni mwa programu wanafunzi wote wa Pre- Form one watapewa mtihani wa yale waliyojifunza na wale watakaofanya vizuri moja kwa moja watapewa nafasi ya kujiunga na Shule ya Barbro Johansson. Ada ya mpango wa Pre - Form One kwa kipindi chote ni shilingi 470,000/= tu.
Je atashiriki Pre-form One?
  A 6:  
Mitihani ya kujiunga na Shule ya Barbro Johansson itafanyika siku ya Ijumaa tarehe 02 Oktoba 2026 saa mbili asubuhi, na kila ijumaa saa mbili asubuhi. Mitihani hii itakuwa ni ya masomo ya Hisabati na Maarifa na itakuwa katika lugha mbili, yaani Kiswahili kwa wanafunzi wanaotoka Shule za Msingi zinazotumia Kiswahili kama lugha ya kufundishia na Kiingereza kwa wanafunzi wanaotoka Shule za Msingi zinazotumia Kiingereza kama lugha ya kufundishia. Ili kutuwezesha kutathmini idadi itakayotumika kwa nakala za mitihani, tafadhali chagua lugha utakayopenda kuitumia katika mitihani na uweke alama ya √ ndani ya kisanduku:
Chagua lugha utakayoipenda kutumia katika mitihani ya kujiunga
SEHEMU B : ADA YA SHULE
  B  
Ada katika Shule ya Wasichana ya Barbro Johansson imegawanyika katika vipengele vifuatavyo:- Tshs. 4,970,000/= Ada ya mwaka (Masomo, Chakula,Malazi na Tehama). Ada yote hulipwa kwa awamu mbili au nne kwa mwaka.
Powered by : FourTech Solution Ltd
Ads